• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Japan kuongeza uwekezaji Afrika

    (GMT+08:00) 2017-08-17 18:28:46
    Serikali ya Japan inapania kuongeza uwekezaji wa sekta binafsi katika nchi za bara la Afrika kupitia kwa miradi ya maendeleo na usaidizi.

    Naibu mkurugenzi wa shirika hilo tawi la Afrika JapanTakashi Shibata ,amesema mpango huo utaboresha miundo msingi ,maendeleo ya rasli mali na kuinua maisha ya vijana kupitia kwa fursa za kazi.

    Chini ya uwekezaji huo,Japan itajenga vituo vya afya na kuanzisha vituo vya ustawishaji vya thamani ya dola bilioni 30 kwa ushirikiano wa sekta ya umma na ile binafsi.

    Aidha Japan ina mpango wa kufungua biashara zake Afrika na tayari majadiliano yamefanywa na serikali za nchi za Afrika.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako