Wizara ya biashara ya China leo imetangaza kufanya ukaguzi wa kesi ya mauzo ya mipira ya Marekani, nchi za Umoja wa Ulaya na Singapore nchini China kwa bei chini.
Wizara hiyo ilikabidhiwa ombi la kufanya hivyo na mashirika ya mipira ya China, ambayo yamepata hasara kubwa kutokana na Marekani, Umoja wa Ulaya na Singapore zinauza mipira kwa bei chini nchini China.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |