Prince William wa Uingereza na mke wake Catherine wametangaza kupitia mtandao wa kijamii kwamba wanatarajia kuwa na mtoto wao wa tatu. Malkia Elizabeth na waziri mkuu wa Uingereza Theresa May wote wametoa salamu za pongezi kwa Prince Willam na mke wake.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |