Serikali ya Tanzania imeingia katika mkataba na kampuni ya Nile Agro ya Uganda kwa ajili ya ujenzi wa kiwanda cha sukari na mradi mkubwa upandaji miwa katika Wilaya ya Tarime, Mkoa wa Mara.
Mradi uliotarajiwa unatarajiwa kutoa ajira za moja kwa moja kwa watu angalau 5,000. Wakulima 2,000 katika wilaya ya Tarime.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |