• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Ligi kuu ya Uingereza (EPL) Manchester City yaichakaza Liverpool

    (GMT+08:00) 2017-09-11 08:50:58

    Manchester City imeirarua bila huruma Liverpool kwa magoli 5-0 katika mchezo wa ligi kuu ya Uingereza na kufanikiwa kukwea nafasi ya kwanza ya msimamo wa ligi hiyo.

    Kwingineko, Chelsea wameifunga Leicester City goli 2-1, nao Arsenal wakiona mwezi baada ya kuichaganga Bournemouth jumla ya magoli 3-0. Stoke City yenyewe imewabana mbavu Manchester United kwa kutoka sare ya goli 2-2. Na Tottenham ikiifunga Everton magoli 3-0.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako