Kocha wa timu ya taifa ya Uganda ya wanawake ya rugby kwa wachezaji 7 kila upande Helen Buteme ametaja kikosi cha wachezaji 12 watakaowakilisha Uganda katika mashindano ya Rugby ya Afrika ya wachezaji 7 yanayotarajia kufanyika Jumamosi na Jumapili nchini Tunisia.
Kundi A lina timu za Afrika Kusini, Uganda, Tunisia na Morocco. Huku Kundi B lina timu za Kenya, Zimbabwe, Senegal na Madagascar.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |