• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Kocha wa timu ya taifa ya Uganda ya wanawake ya rugby wachezaji 7 kila upande ataja kikosi

    (GMT+08:00) 2017-09-12 08:58:02

    Kocha wa timu ya taifa ya Uganda ya wanawake ya rugby kwa wachezaji 7 kila upande Helen Buteme ametaja kikosi cha wachezaji 12 watakaowakilisha Uganda katika mashindano ya Rugby ya Afrika ya wachezaji 7 yanayotarajia kufanyika Jumamosi na Jumapili nchini Tunisia.

    Kundi A lina timu za Afrika Kusini, Uganda, Tunisia na Morocco. Huku Kundi B lina timu za Kenya, Zimbabwe, Senegal na Madagascar.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako