Ripoti iliyotolewa na idara ya ulinzi wa kiraia nchini Cuba inasema dhoruba ya Irma imesababisha vifo vya watu 10 katika mikoa mbalimbali ya nchi hiyo. Ripoti inasema wengi wa wahanga walifariki baada ya kuangukiwa na majengo au kukumbwa na mafuriko kwenye pwani ya kaskazini ya nchi hiyo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |