Kenya imekopa hadi shilingi bilioni 430 ndani ya miezi 5 tangu Januari hadi Juni mwaka 2017 ili kufadhili miradi mikubwa ya miundo mbinu,
Waziri wa fedha Henry Rotich amesema wizara hiyo imesaini mikopo 29 mipya ambayo inafadhili miradi kama vile kilimo, kawi, barabara na maji.
Benki ya dunia hivi karibuni iliionya Kenya kwamba kuendelea kuongeza mikopo huenda kukathiri uchumi.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |