Mbunge wa mjini Nyeri Ngunjiri Wambugu, jana aliwasilisha ombi mbele ya Tume ya Utumishi wa Mahakama, kumwondoa madarakani Jaji Mkuu David Maraga. Wambugu anadai kuwa Jaji Maraga amekuwa mateka wa kundi la mashirika yasiyo ya kiserikali, ambao wamekuwa wakishambulia urais wa Kenyatta tangu mwaka 2013.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |