Wakimbizi kadhaa raia wa Burundi wameuwawa kwa kupigwa risasi mashariki mwa jamhuri ya kidemokrasia ya Congo karibu na mpaka wa Rwanda. Idadi ya wakimbizi waliouawa bado haijatajwa, an sababu za wakimbizi hao kuuawa bado hazijulikani.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |