Mmoja kati ya watuhumiwa wawili wa shambulizi la subway mjini London atambuliwa
Jana, polisi walikagua makazi ya Farroukh yaliyoko Stanwell, Surrey, huku mtu mwingine anayeshukiwa kuhusika na shambulizi hilo akikamatwa katika kivuko cha feri kilichoko Dover jumamosi asubuhi.
Kundi la IS limedai kuhusika na shambulizi hilo lililotokea ijumaa na kusababisha watu 30 kujeruhiwa.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |