• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Hamilton ashinda michuano ya Singapore Grand Prix

    (GMT+08:00) 2017-09-19 08:07:39

    Lewis Hamilton amefanikiwa kushinda michuano ya Singapore Grand Prix mbele ya mpinzani wake mkubwa Sebastian Vettel.

    Licha ya kushinda, Hamilton anataja michuano ya mwaka huu kuwa na upinzani mkali. Hamilton, ambaye alianza mzunguko wa tano kwa kusuasua aliongoza baada ya Vettel kugongana na dereva mwenzake wa Ferrari Kimi Raikkonen.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako