Kituo hicho kinachofahamika CFC kinalenga kutoa na kupokea taarifa kwa wateja.
Benki hiyo pia imejipanga kufungua matawi mapya manne nchini ili kupanua wigo wa huduma.
Mkurugenzi Mtendaji wa UBA, Peter Makau amesema wamejipanga kuwasogezea huduma wateja.
Amesema katika kipindi ambacho benki imeanza kufanya kazi nchini, wameona ipo haja ya kuongeza matawi na kupanua wigo wa huduma.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |