Bondia Joseph Parker amefanikiwa kutetea mkanda wa WBO uzito wa juu baada ya kumtwanga Hughie Fury kwa pointi mwishoni mwa wikiendi hii katika ukumbi wa Manchester Arena kwenye pambano la raundi 12. Katika mchezo huo, bingwa wa zamani wa dunia wa uzito wa juu Tyson Fury ambae ni ndugu na Hughie Fury alilalamika kuwa ndugu yake amedhulumiwa ushindi.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |