Kampuni ya kutengeneza magari ya Peugeot imeanza kuunganisha magari katika kiwanda cha Thika nchini Kenya.
Kampuni hiyo ya ufaransa itatengeneza magari aina ya 508 na 3008 ikishirikiana na kampuni nyingine ya Kenya , Urysia
Gari la 508 ni aina ya sedan huku nayo 3008 ikiw a ni SUV ambayo ilityunukiwa tuzo la gari la Mwaka 2017 mjini Geneva.
Bei ya magari yote mawili yatakuwa zaidi ya dola 40,000.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |