Emmanuel Okwi mshambuliaji mahiri ataongoza kikosi cha timu yake ya Uganda Cranes. Nayo timu ya taifa ya Tanzania (Taifa Stars) inatarjia kukutana na timu ya taifa ya Malawi oktoba 7 katika uwanja wa Uhuru jijini Dar es salaam kwa mechi ya kirafiki ya kimataifa, huku nahodha wa timu hiyo Mbwana Samatta tayari ameshawasili jijini Dar kwa mechi hiyo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |