Kiungo huyo wa pembeni wa Real Madrid atakosa mechi hizo, baada ya kupata maumivu ya misuli wiki iliyopita. Mbali na kukosa mechi za kimataifa, mchezaji huyo pia atakosa mchezo wa ligi Kuu Hispania dhidi ya Espanyol.
Fainali za Kombe la Dunia zimepangwa kuchezwa mwakani nchini Russia na timu mbalimbali zinachuana kuwania tiketi.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |