Malkia Strikers ya Kenya imejizolea tiketi hiyo baada ya kuwafunga mahasimu wao Misri kwa seti 3-0 katika nusu fainali ya kipute hicho iliyoandaliwa Ijumaa jijini Yaounde, nchini Cameroon.
Wenyeji Cameroon walitwaa tiketi ya kushiriki fainali kwa kuangusha Senegal kwa seti 3-0.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |