Kwa upande wa wanawake, Maria Sharapova ameshinda taji la kwanza tangu Mei 2015, baada ya kumfunga Aryna Sabalenka kwa seti 7-5,7-6,10-8 kwenye fainali ya wazi ya Tianjin iliyochezwa mwishoni mwa wikiendi.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |