Shule ya mafunzo ya kimsingi iliyojengwa kwa misaada ya China imefanya sherehe ya kufungua muhula, ambapo rais Ismail Omar Guelleh wa Djibouti ameishukuru China kwa kuunga mkono maendeleo ya elimu nchini humo. Balozi wa China nchini humo Bw. Fu Huaqiang ameitaja shule hiyo kama alama ya urafiki kati ya China na Djibouti, na ushahidi wa maendeleo ya uhusiano kati ya nchi mbili, na kutumai kuwa shule hiyo itatoa mchango kwa ajili ya maendeleo ya elimu nchini humo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |