Wafanyibiashra kutoka Uganda wanasema mtiririko mzuri wa bidhaa kwenye kanda kuu ya usafiri wa Mashariki mwa Afrika inaweza vurugika.
Chama cha Upinzani nchini Kenya kikionekana kukosoa waandaji Uchanguzi, wafanyabiashara wa Uganda wanaanza kuhisi athari, kwa bei ya mafuta kupanda.
Bei ya mafuta tayari imeanza kupanda juu, kutoka kwa bei ya kawaida ya Sh 3,550 hadi Shs 3,700.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |