Umoja wa Ulaya umeamua kurefusha muda wa vikwazo dhidi ya Burundi kwa mwaka mmoja hadi Oktoba 31 mwaka kesho. Taarifa iliyotolewa na ubalozi wa Umoja wa Ulaya nchini Burundi inasema, uamuzi huo unatokana na kukosekana kwa maendeleo kwenye ulinzi wa haki za binadamu, na mchakato wa kuhimiza demokrasia na utawala wa kisheria nchini humo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |