Halmashauri ya huduma za ajira nchini humo imesema hatua fedha hizo zinalenga kuwasaidia vijana kupata ajira na kujihusisha na kilimo chenye faida.
Mkurungezi wa halmashauri hiyo Antonia Mutoro, amesema wanafunzi wanaotaka kupata fedha hizo wanaalikwa kuandika mapendekezo yao.
Miradi isiopungua 60 itafadhiliwa na pesa hizo katika kipindi hiki cha mwaka wa fedha.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |