Timu ya Supersport united imefanikiwa kwenda fainali ya kombe la shirikisho la soka barani Afrika baada ya ushindi wa magoli 3-1 dhidi ya wenyeji, Club Africain kwenye mchezo wa marudiano wa nusu faonali uliofanyika uwanja wa Olimpiki mjini Rades.
Super sport sasa itakutana na mabingwa watetezi TP Mazembe ya DRC katika mechi ya fainali itakayopigwa mwezi ujao.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |