Kwa matokeo hayo, timu hizo zimegikisha pointi 16 baada ya kucheza mechi 8 kila moja. Mchezo mwingine wa ligi kuu ulipigwa jana uwanja wa Manungu Morogoro, Mtibwa Sugar ikilazimishwa sare ya 0-0 na Singida United.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |