Taylor mwenye miaka 31 hakutarajiwa kupigana tena mpaka mwakani baada ya kushinda pambano lake dhidi ya Anahi Sanchez siku ya Jumamosi ambapo alipata jeraha dogo.
Jeraha hilo linakaribia kupona na Taylor atarejea uwanjani licha ya kwamba hadi sasa bado haijawekwa wazi atapambana na bondia gani.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |