PSG wao wameifanyia mauaji Anderlecht kwa kuichapa 5-0 huku Neymar akifunga goli moja kati ya matano.
Barcelona wao wamesubirishwa kuiona 16 bora ya michuano hiyo baada ya kulazimishwa suluhu ya 0-0 na Olympiakos, huku Sporting CP nao wakiilazimisha Juventus sare ya 1-1.
Matokeo mengine, Atletico Madrid wameendelea kukumbwa na mzimu wa sara baada ya kutoka sare ya goli 1-1 dhidi ya Quarabag FK. Bayern Munich yenyewe imeifunga Celtic 2-1.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |