Akizitaja timu zitakazoshiriki mwenyekiti wa kamati hiyo, Khamis Salim amesema ni jku, Zimamoto, Taifa Jang'ombe na Mlandege zote za Unguja, huku Jamhuri na Shaba fc kutoka Pemba.
Aidha, mwenyekiti huyo ameeleza kuwa, timu zingine zitakazoshiriki ni mabingwa watetezi Azam fc, Simba na Yanga kutoka Bara zitakazoungana na moja kutoka Kenya au Uganda.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |