Katika mbio hizo, nafasi ya pili imetwaliwa na Samueli Theuri wa Kenya na nafasi ya tatu ikishikiliwa na Abdi Futa wa Ethiopia.
Kwa upande wa wanawake, Muluhabt Tsega aliyevunja rekodi iliyowekwa mwaka 2016 ya saa 2:31:21 ambapo yeye ametumia saa 2:28:08.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |