Kundi la Hamas limesema litarejesha miili ya wanajeshi wake waliouwawa na majeshi ya Israel katika Ukanda wa Gaza. Taarifa iliyotolewa na msemaji wa Hamas kwa njia ya mtandao, imeeleza kuwa kupitia vikundi vinavyounda jeshi la wapiganaji wa Jihad vikiwemo Saraya, vitatafuta namna ya kuisaka miili hiyo na hatimaye kuirejesha Palestina.
Msemaji huyo bwana Hazem Qasem amesema, kwa kuwa vitendo vya Israel kuwapiga wanajeshi wa Palestina havivumiliki hivyo, majeshi ya Hamas yatahakikisha yanalipiza kisasi .
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |