• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • China na Marekani zapaswa kuendeleza uhusiano mpya kati ya nchi kubwa

    (GMT+08:00) 2017-11-08 10:16:48

    China na Marekani zimehimizwa kuanzisha uhusiano mpya kati ya nchi kubwa ili kunufaisha dunia nzima.

    Mchambuzi wa chuo Kikuu cha Bogazic cha Uturuki Bw. Kadir Temiz amesema, China na Marekani ni nchi muhimu ambazo zinaweza kuathiri kwa kiasi kubwa utulivu wa siasa na uchumi wa dunia. Jambo lolote linaloharibu umuhimu huo linaweza kusababisha msukosuko wa uchumi wa dunia na utaratibu wa kisiasa.

    Amesema anatarajiwa kuwa ziara ya rais Donald Trump nchini China itatoa fursa mpya, licha ya kuwepo kwa tofauti kati ya China na Marekani.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako