Mchezaji bora wa ligi hiyo msimu uliopita Russell Westbrook na Paul George ndiyo walikuwa miiba mikali kwa wapinzani ambapo kwa pamoja walijipatia jumla ya pointi pointi 64.
Jitihada za nyota wa Dallas Harrison Barnes na Dennis Smith ambao walijikusanyia alama 57 hazikuiokoa timu yao dhidi ya kipigo hicho.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |