Nafasi ya pili katika hatua hiyo ilitwaliwa na Matthieu Jeannes wa Ufaransa na Didier Munyaneza akikamata nafasi ya tatu lakini bingwa mtetezi wa Mbio hizo Valens Ndayisenga akishindwa kutamba baada ya jana kuambulia nafasi ya saba.
Mbio hizo zinaendelea kwa hatua ya tatu, yenye umbali wa kilomita 95 kuanzia Rubavu hadi mjini Musanze.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |