Katika Droo ya upangaji makundi mawili iliyofanyika jana mjini Nairobi, kundi la pili linajumuisha timu za Uganda, Zimbabwe, Burundi (Intamba Murugamba), Ethiopia na Sudan Kusini.
Kwa mujibu wa ratiba ya michuano hiyo, wenyeji Kenya watacheza mechi ya ufunguzi Disemba 3 dhidi ya Rwanda na mechi ya fainali itafanyika Disemba 17.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |