• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Rais wa Zimbabwe ahudhuria mahafali ya Chuo Kikuu

    (GMT+08:00) 2017-11-17 19:00:59

    Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe leo amehudhuria mahafali ya Chuo Kikuu Huria yaliyofanyika katika mji mkuu wa nchi hiyo, Harare.

    Kitendo hicho kinaonyesha kuwa rais Mugabe bado ni kiongozi wa nchi kwa sasa, tangu jeshi lilipoonesha kuchukua madaraka jumatano wiki hii.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako