Coleman amesaini mkataba wa miaka miwili na nusu na klabu hiyo iliyoshuka daraja la ligi kuu nchini Uingereza msimu uliopita.
Hii si mara ya kwanza kwa Coleman kufundisha klabu za Uingereza kwakuwa tayari alikwisha kufundisha timu ya Fulham ikiwa ligi kuu nchini Uingereza mwaka 2003-2007.
Licha ya Wales Kumsihi asiondoke, beki huyo wa zamani timu ya taifa alilisitiza kuwa ataondoka kwa kuwa ameshindwa kufuzu kombe la dunia na timu hiyo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |