Ulinzi ambao wanasaka taji hilo kwa mara ya nane sasa, waliongozwa na Eric Mutoro ambaye alifunga alama 28 peke yake katika mchezo wa pili licha ya umahiri wa wachezaji wa Thunder wakiongozwa na Griffins Ligare na Jack Arum.
Msimu uliopita, Ulinzi walivuliwa ubingwa na KPA katika mechi ya mtoano.
Na kwa upande wa wanawake timu ya Co-op Bank iliifunga timu ya Chuo Kikuu cha Zetech kwa pointi 53-47 na kufuzu kwa ushindi wa jumla wa mechi 2-1.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |