Tangu kuanza kwa msimu Westbrom wamevuna pointi 10 tu katika mechi 12 walizocheza na wanashika nafasi ya 17 kwenye msimamo wa ligi kuu.
Mwenyekiti wa timu hiyo John Williams amesema kwa kipindi cha mpito timu hiyo itaongozwa na kocha msaidizi Gery Megson.
Pulis anakuwa kocha wa tano kufuzwa tangu kuunza kwa msimu huu baada ya Frank De Boer wa Crystal Palace, Craig Shakespeare wa Leceister City, Ronald Coeman wa Everton na Salven Bilic wa West Ham.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |