Kozi hiyo inayofanyika nchini Dar es Salaam nchini Tanzania, itaongozwa na wakufunzi wa FIFA Carlos Henriques na Dominic Chiellens, ambapo ina jumla ya washiriki 58 kutoka mataifa ya 26 barani Afrika.
Hii ni awamu ya tatu FIFA kuandaa mafunzo hayo kwa ajili ya Afrika yakitarajiwa kufanyika kwa wiki moja.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |