• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Ronaldo afunga rekodi ya ufungaji magoli klabu bingwa Ulaya

    (GMT+08:00) 2017-11-22 10:29:09

    Kipekee mchezaji wa kimataifa wa Ureno Cristiano Ronaldo ameweka rekodi mpya kwenye takwimu za michuano hiyo, kwa kuifungia Real Madrid jumla ya magoli 98 kwenye ligi ya klabu bingwa Ulaya ikiwa ni goli moja zaidi ya Lionel Messi aliyofunga tangu ajiunge Barcelona.

    Lakini rekodi kubwa kuliko ni magoli mengi zaidi kuwahi kufungwa katika ligi ya klabu bingwa katika msimu mmoja, ambapo kwa msimu huu pekee amefunga magoli 18 peke yake.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako