Katika kundi A, FC Basel wa Uswisi wanaikaribisha Manchester United, Benfica watakuwa wageni wa CSKA Moscow nchini Urusi, na kundi B Anderlecht ya Ubelgiji itacheza nyumbani dhidi ya Bayer Munich, huku PSG ya Ufaransa itacheza na Celtic ya Scotland.
Kundi C ni FC Qarabag dhidi ya Chelsea, na atletico Madrid itacheza na AS Roma, na kundi D ni Juventus wakicheza na Barcelona, lakini Sporting Lisbon watawakaribisha Olympiakos nchini Ureno.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |