Robinho anadaiwa mbaka binti mwenye umri wa miaka 23 mwenye asili ya Albania na kisha kumtelekeza.
Kwa mujibu wa sheria, mahakama ya Italia imempa nafasi kabla ya hukumu kuanza.
Hii sio mara ya kwanza kwa Robinho kupatwa na kesi ya ubakaji kwani mwaka 2009 mshambuliaji huyo alikumbwa na kashfa kama hiyo baada ya kudaiwa kumbaka mwanafunzi wa chuo cha Leeds nchini Uingereza.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |