Salome alishinda kwa upande wa wanawake baada ya kutumia saa 1 na dakika 12 katika umbali wa kilomita 21, na hitimana akitumia saa 1 na dakika 5 kushinda upande wa wanaume katika umbali huo huo.
Mpaka sasa Nyirarukundo na Hitimana, ndiyo wakimbiaji wenye rekodi za juu nchini Rwanda na wakiwahi kuiwakilisha vyema nchi hiyo kimataifa.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |