Hamilton ameshindwa kutamba katika mbio za langalanga za Mexico, Brazil na Abu-dhabi licha ya kuwa hakuna dereva ambaye angeweza kufikia alama 363 alizopata msimu huu.
Akizungumza baada ya kushika nafasi ya pili nyuma Valtteri Botas jana mjini Abu Dhabi nchini Umoja wa Falme za Kiarabu, Lewis amesema anakubali kasoro hiyo lakini akisema hii haitatokea tena msimu katika misimu.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |