Wizara ya uchukuzi imesema ilikuwa imetuma maombi ya kuhudumu kwenye nchi hizo.
Aidha Jambojet ambayo ni tawi la shirika la ndege la Kenya Airways imeomba kupewa idhini kuhudumu Addis Ababa, Zanzibar, Kigali, Juba, Bujumbura, Hargeisa, Mogadishu, Goma, Kisangani na Moroni.
Pia inapanga kuanza safari za mjini Wajir kaskazini mwa Kenya mwezi Februari mwaka ujao. Sasa shirika hilo linafanya safari katika miji ya Nairobi Mombasa, Eldoret, Kisumu, Lamu, Malindi na Ukunda (Diani).
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |