Magoli ya Heroes ambayo alhamisi itashuka kucheza na Tanzania bara yalifungwa na Mudathir Yahya, Mohamed Issa na Kassim Suleiman,
Na goli la kufutia machozi kwa Rwanda ambao wanapokea kipigo kwa mara ya pili kwenye mashindano hayo limefungwa na Hakizimana Muhadjiri.
Katika mechi zingine zilizopigwa jana, Kenya ililazimishwa sare ya bila kufungana na Libya, Ethiopia wakaifunga Sudan Kusini magoli 3-0
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |