• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • UNICEF yasema watoto laki 4 wenye utapiamlo wanaweza kufariki nchini DRC mwaka 2018

    (GMT+08:00) 2017-12-13 14:10:35

    Shirika la kuhudumia Watoto la Umoja wa Mataifa UNICEF limeonya kuwa watoto zaidi ya laki 4 nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo DRC wako katika hali ya utapiamlo na kukabiliwa na hatari ya kufariki.

    UNICEF imetoa taarifa ikisema, hali hiyo mbaya katika eneo la Kasai nchini humo inatokana na mabavu, kuharibiwa kwa makazi na kupungua kwa uzalishaji wa kilimo katika miezi 18 iliyopita.

    Taarifa imesema, ingawa hali ya usalama imetulia katika baadhi ya sehemu za eneo hilo na baadhi ya watu waliokimbia makazi yao wameanza kurudi nyumbani na jamii zao, lakini hali ya kibinadamu bado ni mbaya.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako