Baraza la usalama la Umoja wa mataifa limetoa mamlaka mpya kwa Kurugenzi tendaji ya Kamati ya kupambana na ugaidi CTED kwa kipindi hadi Desemba 31 mwaka 2021. Baraza hilo limepitisha azimio likiamua kuwa kurugenzi hiyo itaendelea kufanya kazi kama tume maalumu ya kisiasa chini ya mwongozo wa sera wa Kamati ya kupambana na ugaidi kwenye kipindi hicho kipya.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |