Baraza kuu la Umoja wa mataifa limetangaza kuwa Morocco itakuwa mwenyeji wa mkutano wa umoja huo kuhusu uhamiaji wa kimataifa, unaofanyika mwaka kesho. Mkutano huo unatarajiwa kufikia makubaliano yanayohakikisha uhamiaji wa kimataifa unafanyika kwa usalama na utaratibu, ambayo yanalenga kulinda usalama, amani na heshima kwa haki za binadamu za wahamiaji na wakimbizi wote.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |