Jumla ya watu 25 walipigwa risasi kuanzia Ijumaa usiku hadi Jumanne asubuhi mjini Chicago Marekani, idadi ambayo ilipungua kwa kiasi kikubwa kuliko watu 61 waliopigwa risasi mwaka jana kipindi kama hicho.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |